[Speech]: HOTUBA YA MWAKA MMOJA WA SERIKALI AWAMU YA SITA

Tarehe : May 24, 2022
Ndugu Wanahabari, Awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuturehemu afya njema na kutuwezesha kukutana tena mahali hapa siku ya leo baada ya kukutana mara ya mwisho wakati tukizungumzia mwenendo wa Sekta ya Madini kabla na baada ya uhuru wa nchi yetu. Aidha, napenda kumshukuru kwa namna ya pekee Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, kwa namna anavyoisimamia Sekta ya Madini na kutokana na maelekezo yake ya mara kwa mara ambayo yameiwezesha sekta hii kupiga hatua zaidi.

by: madini

Latest News
Mawaziri Afrika Wajadili Madini Mkakati

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa ameshiriki Mkutano wa Pili wa Mawaziri wa Madini Afrika …

by: madini on: Oct. 7, 2022, 11:20 a.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

TANZANIA TO PARTAKE FOR MAIDEN TIME IN SA’S MININ…

The Ministry of Minerals informs the public and mining sector stakeholders that Tanzania, in collab…

by: madini on: Jan. 24, 2024, 7:59 p.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals