Tarehe : May 24, 2022
Ndugu Wanahabari,
Awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuturehemu afya njema na kutuwezesha kukutana tena mahali hapa siku ya leo baada ya kukutana mara ya mwisho wakati tukizungumzia mwenendo wa Sekta ya Madini kabla na baada ya uhuru wa nchi yetu. Aidha, napenda kumshukuru kwa namna ya pekee Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, kwa namna anavyoisimamia Sekta ya Madini na kutokana na maelekezo yake ya mara kwa mara ambayo yameiwezesha sekta hii kupiga hatua zaidi.
by: madini
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa ameshiriki Mkutano wa Pili wa Mawaziri wa Madini Afrika …
by: madini on: Oct. 7, 2022, 11:20 a.m.
’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…
by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.
The Ministry of Minerals informs the public and mining sector stakeholders that Tanzania, in collab…
by: madini on: Jan. 24, 2024, 7:59 p.m.
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…
by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.