Tarehe : May 3, 2025, 8:36 p.m.
Dodoma
Jumla ya Wanafunzi wapatao 114 wa Shule ya Msingi FEZA ya jijini Dar Es Salam walioambatana na walimu wao 12, Mei 3, 2025 walitembelea Ofisi za Wizara Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma ambapo walipata wasaa wa kutembelea mradi wa Jengo jipya lililo katika hatua za mwisho za kukamilika kwake.
Wanafunzi hao na walimu wao Mei 2, 2025 walikuwa miongoni mwa wageni wa Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde waliopata nafasi ya kusikiliza hotuba ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2025/26 iliyowasilishwa na Mhe.Anthony Mavunde bungeni Dodoma.
Wakiwa Wizarani, wanafunzi hao waliemishwa na kufahamishwa kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Sekta ya Madini nchini kutoka kwa wataalam wa Wizara.
by: madini
Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…
by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…
by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.
’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…
by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…
by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.