[Latest Updates]: Mbibo Akutana na Wanamichezo wa Madini Singida

Tarehe : May 1, 2025, 8:25 p.m.
left

Leo Mei 1, 2025, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini  Msafiri Mbibo amekutana na Watumishi  Wanamichezo wa Wizara ya Madini  waliokuwa wakishiriki katika Mashindano ya Mei Mosi Mkoani Singida.

Mbibo amekutana na watumishi hao  baada ya Sherehe za Mei Mosi zilizofanyika kitaifa mkoani  humo ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan alikuwa mgeni rasmi.

Timu za michezo ya Kamba na mengine za Wizara ya Madini zilikuwa miongoni mwa  zilizoshiriki katika michezo hiyo iliyoanza tarehe 16 Aprili, 2025  na kufikia kilele leo tarehe tarehe 1 Mei, 2025.

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals