[Latest Updates]: Tume ya Madini Yajipanga Upya Kuiboresha Sekta ya Madini Nchini

Tarehe : Oct. 16, 2025, 12:56 p.m.
left

Tume ya Madini inaendelea na kikao kazi cha menejimenti jijini Tanga chenye lengo la kutathmini utekelezaji wa majukumu yake na kuweka  mikakati mipya ya kuimarisha Sekta ya Madini nchini.

Kikao hicho kinahusisha Makamishna wa Tume ya Madini, Mhandisi Theonestina Mwasha na Dkt. Theresia Numbi, Katibu Mtendaji wa Tume, Mhandisi Ramadhani Lwamo, Wakurugenzi, Mameneja pamoja na Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa.

Kupitia kikao hicho, washiriki wanajadili kwa kina njia bora za kuongeza mchango wa Sekta ya Madini katika Pato la Taifa, ikiwemo kuimarisha usimamizi, kuongeza thamani ya madini nchini, na kuhamasisha uwekezaji endelevu katika sekta hiyo.

Tume ya Madini imeendelea kuwa chachu ya maendeleo katika Sekta ya Madini kupitia usimamizi madhubuti, utoaji wa leseni, elimu kwa wachimbaji, na ufuatiliaji wa shughuli za madini katika ngazi zote za uzalishaji.

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals