[Latest Updates]: Senyamule awataka Wanawake Kuongeza Bidii kwenye Uthubutu

Tarehe : March 8, 2026, 10:59 a.m.
left

Senyamule awataka Wanawake Kuongeza Bidii kwenye Uthubutu

 Kongwa

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akizungumza katika Kilele cha Maadhimisho  ya Siku ya Kimaifa ya Wanawake Duniani Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewataka wanawake nchini kuitumia siku hiyo kutathmini hatua mbalimbali zilizopigwa za usawa wa kijinsia  
huku akiwasisitiza kuongeza bidii  kwenye uthubutu.

Ameongeza kwa kuwataka kutumia siku hiyo kuhamasisha kuhusu fursa za haki za uchumi na kuwaunga mkono wanawake walioonesha njia.

Katika Maadhimisho hayo Watumishi Wanawake Wizara ya Madini wameungana na  wenzao kutoka Mkoa wa Dodoma ambapo takribani wanawake elfu Sita kutoka maeneo 
mbalimbali zikiwemo Wizara, taasisi na makundi mbalimbali  wameshiriki kuadhimisha ngazi ya Mkoa mkoani humo.

 Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani  huadhimishwa  tarehe 8 Machi kila mwaka.

Mwaka huu Maadhimisho hayo yamebebwa na kaulimbiu isemayo
Haki kwa Wanawake na Wasichana: Msingi wa Maendeleo Jumuishi kufikia Dira 2050

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals