[Latest Updates]: Wizara ya Madini na Taasisi zake zote Zashiriki  Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma

Tarehe : June 16, 2026, 2:53 p.m.
left

Wizara ya Madini na Taasisi zake zote inashiriki  Wiki ya Utumishi wa Umma katika Viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma. Wananchi wote mnakaribishwa katika Banda la Wizara ya Madini kwa ajili ya kujifunza masuala mbalimbali kuhusu  Sekta ya Madini.

Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanafanyika kuanzia tarehe 16- 23 Juni, 2026 na yanabebwa na Kaulimbiu isemayo *Kuchochea Uwajibikaji Jumuishi kwa Huduma Endelevu*

#Vision2030:Madinini MaishanaUtajiri

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals