Tarehe : Feb. 24, 2026, 10:27 a.m.
Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde leo tarehe 24 Februari, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini Tanzania, Mheshimiwa Fahad Rashid Al Marekhi katika ofisi ndogo za Wizara ya Madini jijini Dar es Salaam.
Mazungumzo yao yalijikita katika kumarisha ushirikiano kwenye sekta ya madini hususan katika uongezaji thamani wa madini nchini na kuvutia uwekezaji kwenye sekta ya madini nchini kupitia Kampuni mbalimbali zilizopo nchini Qatar.
by: madini
Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…
by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…
by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.
’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…
by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…
by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.