[Latest Updates]: Wizara ya Madini na Taasisi Zake Zashiriki Wiki ya Utumishi wa Umma 2025

Tarehe : June 15, 2025, 5:49 p.m.
left

Dodoma

Wizara ya Madini na taasisi zake ikiwemo Tume ya madini na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), leo Juni 16, 2025 zimeanza rasmi kushiriki Wiki ya Utumishi wa Umma katika viwanja vya Chinangali Park. 

Maonesho hayo yanayosimamiwa na Ofisi ya  Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma na Utawala Bora, ambapo kwa mwaka huu 2025 yanabebwa na kaulimbiu inayosema " Himiza Matumizi ya Mifumo ya Kidijiti ili kuongeza Upatikanaji wa Taarifa za Kuchagiza Uwajibikaji"

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals