[Latest Updates]: Ujumbe Kutoka Wizara ya Madini Watembelea Duka la TGC Lililopo AICC Arusha

Tarehe : March 19, 2026, 12:25 p.m.
left

Leo Machi 19, 2026 ujumbe kutoka Wizara ya Madini Makao Makuu ukiongozwa  Mkurugenzi wa Sera na Mipango Augustino Olal umetembelea Kituo cha Jemolojia  Tanzania  (TGC)  katika duka la Kituo hicho  lililopo Kituo cha Mikutano cha Kimataifa  (AICC.) jijini Arusha.

Ziara hiyo imekuwa na mazungumzo yenye tija kuhusu namna ya kukuza Sekta ya Uongezaji thamani madini  nchini  hususan kwa madini ya vito Tanzania ikiwemo  kuimarisha uelewa wa wageni na wazawa juu ya vito vya thamani pamoja na bidhaa zinazotengenezwa kutokana na madini yanayopatikana nchini.

"Tunaamini kupitia ushirikiano huu, tunaendelea kuinua ubora, thamani na hadhi ya madini ya Tanzania kimataifa,"
amesema  Mratibu wa  TGC, Ally Maganga.

by: madini

Latest News
Biteko atoa wito Mabenki ya ndani kuungana kukope…

Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…

by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.

Ukusanyaji wa Maduhuli Sekta ya Madini Wafikia As…

Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…

by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.

Aliyoyasema Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adol…

’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…

by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.

Tume ya Madini Yaagizwa Kutafuta Masoko

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…

by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.

Read News
Contact Us
Permanent Secretary,
Ministry of Minerals,
Madini Street,
Government City, Mtumba
P. O. Box 422,
Dodoma, Tanzania
Email: ps@madini.go.tz
Copyright©2021 Ministry of Minerals