Tarehe : March 19, 2026, 12:25 p.m.
Leo Machi 19, 2026 ujumbe kutoka Wizara ya Madini Makao Makuu ukiongozwa Mkurugenzi wa Sera na Mipango Augustino Olal umetembelea Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) katika duka la Kituo hicho lililopo Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC.) jijini Arusha.
Ziara hiyo imekuwa na mazungumzo yenye tija kuhusu namna ya kukuza Sekta ya Uongezaji thamani madini nchini hususan kwa madini ya vito Tanzania ikiwemo kuimarisha uelewa wa wageni na wazawa juu ya vito vya thamani pamoja na bidhaa zinazotengenezwa kutokana na madini yanayopatikana nchini.
"Tunaamini kupitia ushirikiano huu, tunaendelea kuinua ubora, thamani na hadhi ya madini ya Tanzania kimataifa,"
amesema Mratibu wa TGC, Ally Maganga.
by: madini
Waziri wa Madini, Doto Biteko ameyataka Mabenki ya ndani kushirikiana ili kuweza kuzikopesha kampun…
by: madini on: April 23, 2021, 5:11 a.m.
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai, 202…
by: madini on: April 28, 2021, 12:51 p.m.
’Nimeona Nyuso Zenye Furaha , Amani na Utulivu’’ Ninayo furaha kuwa nanyi hapa ili tuanze safari hi…
by: madini on: Jan. 10, 2022, 2:55 p.m.
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wa…
by: madini on: Jan. 30, 2022, 9:32 a.m.